Wednesday, 19 March 2014

Habari mpya zilizopo asubuhi hii kuhusu ndege ya Malaysia iliyopotea. Ungana na vitendo hapa upate taarifa zaidi.

Taarifa zilizopo kwa sasa  ni kwamba, waziri mkuu wa Australia
Tony Abbott ametangaza kuwa satelite ya Australia imenasa picha inayoonyesha vipande viwili vya mabaki ya ndege.

Mabaki hayo yanasadikiwa kuwa ni ya ndege ya Malaysia iliyopotea yameonekana kusini mwa bahari ya hindi ambako vyombo vya majini vya Australia vilikuwa vikifanya uchunguzi.

Kwa taarifa zaidi endelea kumfuatilia vitendo.