Hadi atakapomaliza adhabu yake Chris Brown atakuwa ananuka kufuru.
Hii ni baada ya kutupwa jela, taarifa zinasema kuwa Chris anaruhusiwa kuoga mara moja tu ndani ya siku mbili akiwa humo jela jambo linaloweza kumsababisha kutoa harufu kali.
Kifungo hicho anachokitumikia hadi tarehe 23 april ni baada ya kuvunja sheria wakati yupo Rehab.