Monday, 10 February 2014

DAR NAKO WAFANYABIASHARA MGOMO KAMA RUVUMA NA MUSOMA.

Ukiachilia mbali mgomo wa wafanyabiashara unaondelea mikoa ya Songea na Musoma pia mkoa wa Dar es  salaam nao umeonekana kuingia kwenye mgomo huo wa kugomea mashine za kutolea stakabadhi za kielekroniki.

hapo chini ni baadhi ya maduka maeneo ya kariakoo yaliyofungwa.