Cristiano Ronaldo ameripotiwa kukatisha mapumziko yake ili kujaribu kumshawishi staa mwenzie Sergio Ramos aendelee kuitumikia Real Madrid.
Chapisho la AS huko huispania limechapisha kuwa Cr7 alimuita Ramos wakati wa mapumziko yake huko Miami, Florida, kumsihi aachane na fikra za kwenda Manchester United.
(Mirror)
(Mirror)
![]() |
C. Ronaldo |