Saturday, 27 June 2015

Kuhusu, Christiano Ronaldo ft habari za uongo

Kuhusu,
Cristiano Ronaldo ft habari za uongo

Ni miezi kadhaa sasa tangu Cristiano Ronaldo afanye mkutano na waandishi wa habari na leo amefanya na kuyaongea haya.

Cristiano Ronaldo amesema kwamba habari za uongo zinazozushwa juu ya mipango yake ya baadae  zikomeshwe na amesisitiza kuwa bado anaendelea kuitumikia Real Madrid kutoka moyoni.