Monday, 21 April 2014

Muda mfupi uliopita kuhusu Man Utd: David Moyes kufukuzwa saa 24 zijazo kutoka sasa.

Bosi wa Man U, David Moyes yupo njiani kuachishwa kazi kama kocha wa Man U saa 24 kutoka sasa.

Ryan Gibbs ambaye ni mchezaji wa Man U anatarajiwa kuisimamia timu hiyo baada ya Moyes kuondoka hadi mwisho wa msimu  ambapo kocha wa kudumu atakapopatikana.

Msemaji wa klabu ya Man U amekanusha suala la Moyes kufukuzwa ila taarifa za kuaminika zinasema kuwa kuondoka kwa moyes hakuepukiki.

Maamuzi haya magumu yanatolewa baada ya mfululizo wa matokeo mabaya tangu alipomrithi Sir.

Via Goal.com, Skysports