Ni Emmanuel Festo (12) mtoto mwenye ulemavu wa ngozi. Pia ni ulemavu wa mikono ambayo aliipoteza baada ya kuvamiwa na kukatwa viganja vyake mwaka 2006 mkoani Kagera akionyesha uwezo wake alionao wa kuchora. Mtoto huyu pia ana matatizo ya kutoona vizuri kutokana na maumbile yake.