Thursday, 17 April 2014

Ushasikia kuhusu shindano la kumsaka mwanaume mwenye uume mdogo!? Fungua hapa upate kujua.

Mataifa ya wenzetu kuna mambo wanayafanya ambayo yanaweza kukuacha mdomo wazi siku mzima, kama hili la shindano la kumsaka mtu mwenye uume mdogo.

Ni shindano linalotarajiwa kufanyika kwa mara ya pili  Juni 14 mwaka huu litakalofanyika huko Brooklyn's Kings County Bar(New York) ambako mshindi atazawadiwa kitita cha pesa na kutunukiwa heshima. Kwa mara ya kwanza lilifanyika mwaka jana.

Pia hawa jamaa wanamsaka mwanadada Miley Cyrus ili awe mmoja wa waudhuliaji. Patakuaje sijui hapo!!!?

Picha za matukio ya shindano lililopita. Via Huffington Post