Mabingwa wa kombe la mabingwa ulaya, Beyern wamepewa adhabu na shirikisho la soka duniani ya kufunga upande mmoja wa uwanja wao kwenye mechi kati yao na man U inayotarajiwa kupigwa.
Hii ni kutikana na mashabiki wake kuwadhalilisha Arsenal kwa kutumia picha hiyo hapo juu siku ya mechi yao na Arsenal.