Tuesday, 25 February 2014

Hii hapa sababu kwa nini wanafunzi kidato cha nne waliopata pointi zinazofanana lakini madaraja tofauti kwenye matokeo kidato cha nne 2013 . Fuatilia hapa na vitendo kufahamu zaidi.

NECTA imesema, kwa yeyote mwenye pointi kuanzia 32 kama hana ama D mbili au C moja,
anahesabika kuwa na Daraja 0 kama inavyoonekana katika picha.

Hii ndiyo sababu utaone watu wana pointi mfano 43 lakini
mmoja yupo daraja Sifuri (0) na mwingine yuko daraja la nne (4).