Sunday, 9 November 2014

Arsenal yachapwa na Swansea 2 -1

Arsenal walikuwa ugenini wakimenyana na Swansea ambapo Arsenal wamepata kichapo baada ya kukubali kufungwa magoli 2 -1

Arsenal ndio waliokuwa wa kwanza kufunga goli lilofungwa na Alexi Sanchez

Hata hivyo goli hilo halikudumu kwani Swansea nao walipata goli la kusawazisha na baadae wakapata goli la ushindi